Find Your Dream Job Today

MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II | Igunga

Posted:  |  Deadline: Checking... Loading

Halmashauri ya Wilaya ya Igunga

4 Positions

Application Period

19/12/2024 - 01/01/2025

Duties and Responsibilities

i. Kuchapa barua, taarifa na nyaraka za kawadia na za siri;


ii. Kupokea wageni na kuwasili shida zao na kuwaeleza wanapoweza kusaidiwa;


iii. Kutunza taarifa za kumbukumbu ya matukio, miadi, tarehe za vikao, safari za Mkuu wake na ratiba za kazi zingine;


iv. Kutafuta majalada na nyaraka zinazohitajika katika utekelezaji wa majukumu ya kazi;


v. Kupokea majalada na kusambaza kwa Maofisa waliokatika Idara/Kitengo/Sehemu husika;


vi. Kukusanya, kutunza na kuyerejesha majalada na nyaraka sehemu zinazohusika;


vii.Kupanga dondoo na kufanya maandalizi ya vikao mablimbali;


viii. Kuandaa orodha ya mahitaji ya vifaa vya ofisi; na


ix. Kufanya kazi zingine atakazopangiwa na Mkuu wake wa kazi.


Qualifications

Kuajiriwa Wahitimu wa Kidato cha Nne (Form Four) au Kidato cha Sita (Form Six) wenye Stashahada (Diploma) ya Uhazili au cheti cha NTA level 6 ya Uhazili. Aidha, wawe amefaulu somo la Hatimkato ya Kiswahili na Kiingereza maeneo 100 kwa dakika moja na kupata programu za kompyuta za ofisi kama vile: Word, Excel, Powepoint, Internet, E-mail na Publisher kutoka chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali. 


Remuneration

TGS.C 

How to Apply

Login to AjiraPortal and then sign your application letter, confirm your CV and certified certificates then click Apply Now button.


How to Apply

Please read the instructions above on how to apply.

Join our community for more updates, and tips: